Kwanini Zahera anaidai kwa nguvu Yanga? Makao Makuu ya klabu ya Yanga Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amejibu kuwa anaidai Yanga fedha zake kwa nguvu kutokana na viongozi wa klabu hiyo kumuonesha dharau na kumundoa bila sababu ya msingi. Read more about Kwanini Zahera anaidai kwa nguvu Yanga?