Watoto wanaoingia kwenye 'Vibanda Umiza' kukamatwa
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri, ameagiza watoto wote wanaokaa kwenye vibanda vya sinema nyakati za usiku na wakati wa masomo, kukamatwa na kuchukuliwa hatua kali.