Watu watatu wafariki kwa ajali Mbeya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei. Watu watatu akiwemo Dereva na utingo wake, wamefariki Dunia baada ya Gari kubwa la kusafirishia mafuta, kufeli breki na kuligonga gari jingine katika kijiji cha Ibula,wilayani Rungwe, mkoani Mbeya. Read more about Watu watatu wafariki kwa ajali Mbeya