Watu watatu wafariki kwa ajali Mbeya

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei.

Watu watatu akiwemo Dereva na utingo wake, wamefariki Dunia baada ya Gari kubwa la kusafirishia mafuta, kufeli breki na kuligonga gari jingine katika kijiji cha Ibula,wilayani Rungwe, mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS