Majibu ya Wanafunzi UDSM baada ya agizo la Waziri

Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO), Hamis Musa.

Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Hamis Musa, amesema kuwa wakati wanatoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo, hawakuwa na nia mbaya ya kuvuruga amani ya nchi, bali ni yao ni kutetea haki ya wanafunzi ambao wana uhitaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS