Ufaulu wa Mwanafunzi Anna aliyefiwa na wazazi

Mwanafunzi Anna Zambi

Mwanafunzi Anna Zambi ambaye wazazi wake walifariki wakati wakienda kwenye mahafali yake mkoani Tanga, amefaulu kwa kupata daraja la 1 (Division 1 ya 14), katika matokeo ya kidato cha 4 yalitolewa jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS