'Amber Lulu amevurugwa, hayupo sawa' - Nuh Msanii wa Muziki Bongo, Nuh Mziwanda na Amber Lulu. Msanii wa muziki Nuh Mziwanda, amesema Amber Lulu amevurugwa na akili zake hazipo sawa kwa sababu anaweza kufanya jambo lolote bila ya mtu yeyote kutarajia na likawa kubwa. Read more about 'Amber Lulu amevurugwa, hayupo sawa' - Nuh