"Waendelee kulala,hatutaomba lifti"-Country Boy Pichani ni msanii wa HipHop Country Boy Rapa Country Boy amewachana wasanii ambao wanaogopa kuachia Album, na kusema waache waendelee kulala, huku yeye akiendelea kufanya kazi. Read more about "Waendelee kulala,hatutaomba lifti"-Country Boy