Manara amvaa tena Nugaz, ni kuhusu lugha

Haji Manara na Antonio Nugaz

Mnyukano wa maneno unaendelea kati ya Afisa Habari wa Simba, Haji Manara na Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa Yanga, Antonio Nugaz huku kila mmoja akijaribu kuisimamisha timu yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS