Manara amvaa tena Nugaz, ni kuhusu lugha Haji Manara na Antonio Nugaz Mnyukano wa maneno unaendelea kati ya Afisa Habari wa Simba, Haji Manara na Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa Yanga, Antonio Nugaz huku kila mmoja akijaribu kuisimamisha timu yake. Read more about Manara amvaa tena Nugaz, ni kuhusu lugha