Mvua DSM, magari, samani vyasombwa na maji Mvua jijini Dar es salaam. Mvua zilizoanza kunyesha leo asubuhi ya Disemba 17, 2019, jijini Dar es salaam, zimepeleeka mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo na kusababisha kadhia na kero mbalimbali kwa wananchi. Read more about Mvua DSM, magari, samani vyasombwa na maji