Mwakyembe awaonya wasanii wa filamu kwenye hili

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe amewataka wasanii wa filamu nchini kuzingatia suala la maadili kwenye filamu zao na yeyote atakayekiuka Serikali haitamvumilia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS