Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe amewataka wasanii wa filamu nchini kuzingatia suala la maadili kwenye filamu zao na yeyote atakayekiuka Serikali haitamvumilia.