Ally Mtoni aomba msamaha kwa kadi nyekundu Ally Mtoni na Obrey Chirwa Mlinzi wa klabu ya Yanga, Ally Mtoni ameomba msamaha kufuatia kitendo cha kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC katika mchezo wa ligi. Read more about Ally Mtoni aomba msamaha kwa kadi nyekundu