Watatu wafariki sababu ya Mvua, RC atoa neno

Daraja lilibomoka sababu ya Mvua mkoani Rukwa

Mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa wa Rukwa zimeendelea kusababisha maafa baada ya kusomba madaraja manne katika barabara ya Kasansa – Kilyamatundu inayounganisha mikoa ya Songwe, Rukwa na Katavi iliyopo bonde la ziwa Rukwa Wilayani Sumbawanga huku ikisababisha vifo vya watu watatu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS