'Wasipotii agizo lazima wakamatwe' - DC Sabaya

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amewataka wamiliki wawili wa mabasi ya Machame Safari na Lim Safari, wahakikishe wanafika Kituo cha Polisi kama alivyowaagiza na kwamba yeye hajibizani na watu kwenye mitandao na wasipotii agizo lake watakamatwa kama wahalifu wengine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS