Waziri Mkuu atoa tamko uagizwaji wa Sukari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Juma Reli, ahakikishe anazuia utoaji wa vibali vya kuingiza sukari kutoka nje, hadi sukari inayozalishwa na kiwanda cha sukari cha Zanzibar kilichopo Mahonda iishe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS