Amjeruhi uume mpenzi wake kwa wembe Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Daniel Shillah Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mwanamke anayefahamika kwa jina la Marusi Samweli kwa tuhuma za kumjeruhi mpenzi wake kwenye uume kwa kumkata na wembe. Read more about Amjeruhi uume mpenzi wake kwa wembe