Amjeruhi uume mpenzi wake kwa wembe

Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Daniel Shillah

Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mwanamke anayefahamika kwa jina la Marusi Samweli kwa tuhuma za kumjeruhi mpenzi wake kwenye uume kwa kumkata na wembe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS