Jinsi alikiba Alivyopokelewa Kifalme Morogoro

Alikiba akiwa mkoani Morogoro

Mfalme wa Muziki wa BongoFleva Alikiba amepokelewa kwa shangwe akiwa mkoani Morogoro, akiwa njiani kuelekea mkoani Iringa kwa ajili ya Tamasha lake la #AlikibaUnforgettableTour litakalofanyika siku ya Jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS