'Nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75' - Miss Bella Picha ya Miss Bella Mrembo ambaye ni msanii wa filamu na muziki, Miss Bella, amesema tangu amezaliwa kwenye mahusiano yake ameshafumaniwa zaidi ya mara 75, na mwanaume akiwa kwake hawezi kumuacha mpaka yeye atakapoamua. Read more about 'Nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75' - Miss Bella