'Nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75' - Miss Bella

Picha ya Miss Bella

Mrembo ambaye ni msanii wa filamu na muziki, Miss Bella, amesema tangu amezaliwa kwenye mahusiano yake ameshafumaniwa zaidi ya mara 75, na mwanaume akiwa kwake hawezi kumuacha mpaka yeye atakapoamua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS