Alichoahidi JPM kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020 Rais Magufuli Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema kuwa Tanzania itafanya uchaguzi huru na haki ifikapo Oktoba 2020, ambapo utakuwa uchaguzi wa kuwachagua Wabunge na Madiwani pamoja na Rais. Read more about Alichoahidi JPM kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020