Ahadi za Rais wa TFF baada ya kuchaguliwa CECAFA Rais mpya wa CECAFA, Wallace Karia Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Baraza la Vyama na Vilabu Afrika Mashariki na Kati CECAFA kwa kipindi cha miaka 4 ijayo. Read more about Ahadi za Rais wa TFF baada ya kuchaguliwa CECAFA