Ahadi za Rais wa TFF baada ya kuchaguliwa CECAFA

Rais mpya wa CECAFA, Wallace Karia

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Baraza la Vyama na Vilabu Afrika Mashariki na Kati CECAFA kwa kipindi cha miaka 4 ijayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS