Mkuu wa Wilaya awakataza walimu kufanya hili
Mkuu Wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amewaagiza Wakuu wa Shule zote za Sekondari katika Halmashauri hiyo kutowazuia wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza, kwa sababu ya kutokamilisha mahitaji yao ya shule.

