Mkuu wa Wilaya awakataza walimu kufanya hili

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni

Mkuu Wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amewaagiza Wakuu wa Shule  zote za Sekondari katika Halmashauri hiyo kutowazuia wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza, kwa sababu ya kutokamilisha mahitaji yao ya shule.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS