"Kuna watu walijua sisi ni viziwi kweli"-Carpoza
Wachekeshaji wanaofanya vizuri kwa sasa hapa nchini Oka Martin na Official Carpoza, wamesema kuna watu walidhani kama wao ni viziwi kweli, kutokana na vichekesho vyao wanavyovifanya kuonesha kuwa ni viziwi.
