TAKUKURU yakamata sita, kwa rushwa ya uchaguzi

Ofisi Kuu ya TAKUKURU

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoa wa Ilala imesema wamewahoji watu sita baada ya kubainika kuhusika na tuhuma za kutoa rushwa ili kupitishwa katika nafasi za uongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS