TAKUKURU yakamata sita, kwa rushwa ya uchaguzi Ofisi Kuu ya TAKUKURU Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoa wa Ilala imesema wamewahoji watu sita baada ya kubainika kuhusika na tuhuma za kutoa rushwa ili kupitishwa katika nafasi za uongozi. Read more about TAKUKURU yakamata sita, kwa rushwa ya uchaguzi