Trilioni 13 zatolewa kumaliza mji wa msanii huyu

Msanii wa nchi ya Senegali anayefanya shughuli za kimuziki nchini Marekani

Staa wa muziki Afrika na Marekani Akon, amepokea kiasi cha Tsh Trilioni 13 kutoka kwa kampuni ya uhandisi nchini Marekani kwa ajili ya ujenzi wa mji wa Akon City nchini kwao Senegal.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS