Msanii wa nchi ya Senegali anayefanya shughuli za kimuziki nchini Marekani
Staa wa muziki Afrika na Marekani Akon, amepokea kiasi cha Tsh Trilioni 13 kutoka kwa kampuni ya uhandisi nchini Marekani kwa ajili ya ujenzi wa mji wa Akon City nchini kwao Senegal.