"Nitazaa hadi itakaposhindikana" - Tausi Mdegela

Msanii wa filamu Tausi Mdegela akiwa na mtoto wake wa kike

Msanii wa filamu ambaye ni mzazi wa mtoto mmoja wa kike, Tausi Mdegela amesema mwanaye huyo anamkataa na anampenda sana baba yake kuliko yeye, pia ana mipango ya kuzaa mpaka pale itakaposhindikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS