Madee azungumzia mabadiliko ya mwili wa Chid Benz

Madee na Chid Benz

Msanii nguli wa Bongo Fleva, Madee 'Seneda' ameshindwa kuficha hisia zake baada ya kuona picha ya msanii mwenzake wa kitambo, Chid Benz katika mitandao ya kijamii ikimuonesha ameongezeka tofauti na awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS