Mchezo wa kwanza wapigwa Marekani bila mashabiki

Anayepigwa ni Tony Ferguson na aliyepiga ngumi hiyo ni Justin Gaethje

Pambano la kwanza la ngumi tangu janga la Corona liingie nchini Marekani limepigwa usiku wa kuamkia leo Mei 10, 2020, ambapo Justin Gaethje amemchapa Tony Ferguson kwa TKO raundi ya 5 na kuibuka bingwa wa UFC interim lightweight. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS