"Dont Cry ft. Tupac inakuja hivi karibuni" - Chidi
Kushoto ni msanii wa HipHop Chidi Benz, kulia ni marehemu Tupac Shakur
Unakumbuka msanii wa HipHop hapa nchini Chidi Benz aliwahi kusema ana kazi zake za kumuziki na marehemu Tupac Shakur ambazo atakuja kuziachia muda ukifika.