Mabeyo ataka miradi na uzalishaji jeshini Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amesema umefika wakati sasa kwa jeshi kama taasisi nyeti nchini, kuwa na miradi yake binafsi ya huduma pamoja na ile ya uzalishaji. Read more about Mabeyo ataka miradi na uzalishaji jeshini