Adai Shetani alimpitia akambaka mtoto wa miaka 8 Mkazi wa Kata ya Wailes, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Selemani Hassani (29) amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani,baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka 8. Read more about Adai Shetani alimpitia akambaka mtoto wa miaka 8