Vitambulisho 180,000 vya NIDA kutolewa kwa siku Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini. Read more about Vitambulisho 180,000 vya NIDA kutolewa kwa siku