Bibi wa miaka 65 aolewa na mwanaye wa miaka 24

Wanandoa Mbah Gambreng (65) na mumewe Ardi Waras (24)

Bibi wa miaka 65 aliyetambulika kwa jina la Mbah Gambreng amekubali kufunga ndoa na mwanaye wa kumnunua au kufikia aitwaye Ardi Waras mwenye miaka 24 huko Kusini mwa Sumatra nchini Indonesia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS