Madaktari 44 waambukizwa Corona Hospitalini

Mkurugenzi Mkuu kutoka Wizara ya Afya Kenya, Dkt Patrik Amoth,

Madaktari 44 katika Hospitali ya kujifungulia kina mama, iliyopo Pumwani jijini Nairobi, wamekutwa na Corona na kupelekea mgomo baridi wa wahudumu wa afya, huku Serikali ikisema imeweka mikakati kuwakinga wahudumu hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS