Watalii ruksa kuingia Tanzania, anga lafunguliwa Wataliii Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, ametangaza kufunguliwa kwa anga la Ndege la Tanzania, ambapo kwa sasa Ndege za Kitalii, na kibiashara zitaruhusiwa kuingia nchini. Read more about Watalii ruksa kuingia Tanzania, anga lafunguliwa