"Malipo ni duniani, mwisho wa ubaya aibu" - Prof J
Msanii na Mbunge anayeoongoza watu na wanyama Jimbo la Mikumi Prof Jay, amesema kuwa kwenye maisha haya amejifunza kuchunga sana mdomo wake kwa sababu malipo ni hapa hapa duniani na mwisho wa ubaya ni aibu.

