Pioli aongeza mkataba wa miaka 2 Milan

Kocha wa AC Milan Stefano Pioli

Klabu ya soka ya AC Milan imetangaza Jumanne hii kwamba Kocha Stefano Pioli amesaini nyongeza ya mkataba wa miaka miwili kwenye kandarasi yake, kuendelea kubaki klabuni hapo hadi Juni 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS