RC aeleza kufungwa kwa mipaka kulivyoleta chuki
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella, amesema kuwa kitendo cha Watanzania kuzuiliwa kuingia nchini Kenya, kimeleta chuki kubwa kati ya wananchi wanaoishi katika mpaka wa Horohoro na kuona kwamba Serikali ya Tanzania imekuwa na busara za wao kuendelea kuwaruhusu Wakenya kuja nchini.