"Pumzika salama mtani wangu" - Rais Magufuli

Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kulia ni Balozi Mstaafu Job Lusinde wakati wa uhai wake.

Rais Magufuli ameonesha kuguswa na kifo cha aliyekuwa miongoni mwa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika, Balozi Job Lusinde, na kuwapa pole wanafamilia wote, huku akieleza ni kwa namna gani ataukumbuka mchango wake mkubwa kwa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS