Manara ataka kombe likabidhiwe kwa Rais Magufuli

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara

Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema endapo Simba itabeba ubingwa wa ligi ataongea na uongozi wa klabu ili ikiwezekana kombe hilo wamkabidhi Rais Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS