Manara ataka kombe likabidhiwe kwa Rais Magufuli Afisa Habari wa Simba, Haji Manara Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema endapo Simba itabeba ubingwa wa ligi ataongea na uongozi wa klabu ili ikiwezekana kombe hilo wamkabidhi Rais Magufuli. Read more about Manara ataka kombe likabidhiwe kwa Rais Magufuli