"Ukiachwa usipingane na ukweli" - Miriam Mauki

Miriam Mauki, Mtaalamu wa masuala ya malezi na mahusiano.

Mtaalamu wa masuala ya malezi na mahusiano, Miriam Mauki amesema kuwa mtu yeyote ambaye ataachana na mpenzi wake, hatakiwi kuendekeza hasira badala yake asamehe na kuamua kuendelea na maisha yake na akubaliane na ile hali ya kwamba ameachwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS