"Ukiachwa usipingane na ukweli" - Miriam Mauki
Mtaalamu wa masuala ya malezi na mahusiano, Miriam Mauki amesema kuwa mtu yeyote ambaye ataachana na mpenzi wake, hatakiwi kuendekeza hasira badala yake asamehe na kuamua kuendelea na maisha yake na akubaliane na ile hali ya kwamba ameachwa.

