"Kaka Tuchati, goma nimelielewa sana"-Naibu Waziri
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amemaliza bifu na kuwapa ushauri wanamitindo Calisah na Ben Breaker pia amesema ameilewa ngoma mpya ya kundi la Rostam "kaka tuchati".