Kaka Tuchati ya Rostam yasaidia Hospitali mbili
Kundi la muziki wa HipHop Rostam ambalo linaundwa na wasanii Roma na Stamina, wamefanikisha kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 3.4 kupitia 'challenge yao ya kaka tuchati' na kununua mashine mbili za Oxygen 2 pamoja na Mashuka 68, ambayo yatasambazwa kwenye Hospitali mbili.
