Kaka Tuchati ya Rostam yasaidia Hospitali mbili

Kundi la Rostam Roma Mkatoliki upande wa kushoto na Stamina upande wa kulia

Kundi la muziki wa HipHop Rostam ambalo linaundwa na wasanii Roma na Stamina, wamefanikisha kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 3.4 kupitia 'challenge yao ya kaka tuchati' na kununua mashine mbili za Oxygen 2 pamoja na Mashuka 68, ambayo yatasambazwa kwenye Hospitali mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS