Mbeya: Ndugu wafukua maiti iliyozikwa miezi 3

Mwili wa Marehemu Tulizo Konga, ukifukuliwa huko mkoani Mbeya.

Ndugu wa Marehemu Tulizo Konga wa Kijiji cha Igumbilo Kata ya Chimala mkoani Mbeya, wamefukua kaburi la ndugu yao mara baada ya kupata kibali kutoka kwa mamlaka za kisheria  ili kupata uhakika wa chanzo cha kifo cha ndugu yao, aliyefariki Dunia Machi 25 na kuzikwa Machi 28.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS