Azam FC yajibu madai ya kuwa tawi la Simba Afisa Habari wake, Zakaria Thabit 'Zaka Zakazi' Klabu ya Azam FC imekanusha vikali kauli za wadau wengi na mashabiki wa soka nchini kuwa ina mahusiano na klabu ya Simba hasa katika masuala ya ndani ya uwanja. Read more about Azam FC yajibu madai ya kuwa tawi la Simba