Corona inavyotia dosari kurejea kwa Premier League

Mpira wa Premier League msimu wa 2019/20

Baada ya vilabu 20 vya Premier League kukubaliana kuanza mazoezi siku ya Jumanne Mei 19, 2020 kwaajili ya maandalizi ya kuendelea na msimu wa ligi kuu nchini England huenda ripoti ya vipimo ikatia dosari hatua hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS