Rais Magufuli arejea Dar, aendesha harambee Ubungo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameendesha harambee kwa ajili ya kuchangia ununuzi wa Bajaji ya Nyangoma James ambaye ni mlemavu na mkazi wa Jiji la Dar es Salaam.