'Order' kutoka juu ilivyomlaza Idris Mahabusu

Mchekeshaji, Idris Sultan.

Mwanasheria wa msanii Idris Sultan, Ben Ishabakaki, amesema kuwa jana walishindwa kumtoa mteja wake Polisi, baada ya kunyimwa dhamana kwa kile walichoelezwa kuwa, hilo ni agizo kutoka Mamlaka za juu za Jeshi la Polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS