Simba yahusishwa na washambuliaji 2 Kimataifa

Justin Shonga (kushoto) na Michael Sarpong (kulia)

Katika kipindi cha mwezi mmoja wa Mei, 2020 klabu ya Simba imehusishwa na kuwasajili washambuliaji wawili wa kimataifa ili kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa ligi pamoja na michuano ya Kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS