Zahera amshukia Luc, asema hafai
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga SC Mwinyi Zahera ameonyesha kusikitishwa na kauli za kocha mkuu wa klabu hiyo Luc Eymael juu ya Shirikisho la soka nchini,Viongozi na Mashabiki wa wana Jangwani hao kwa kuwaita majina ya kibaguzi baada ya mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya

