"Vyombo vya dola msitumie nguvu" - Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi nchini visitumie nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu.

