Mshambuliaji wa Aston Villa na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akifunga bao dhidi ya AFC Bournemouth katika mchezo wa EPL.
Pamoja na kupata ushindi dhidi ya Arsenal Jumanne hii, na kutoka eneo la kushuka daraja, bado Aston Villa itahitaji kushinda mchezo wa mwisho uliobaki.