Msigwa atoa sababu za kuutosa Urais

Mchungaji Peter Msigwa.

Wanachama wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameingia mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS