Msigwa atoa sababu za kuutosa Urais Mchungaji Peter Msigwa. Wanachama wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameingia mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Read more about Msigwa atoa sababu za kuutosa Urais