Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba akipokea fomu ya kuwania urais kutoka kwa vijana wa chama hicho.
Vijana wa Chama Cha Wananchi CUF Mkoa wa Dar es Salaam hii Leo wamesema Wana Imani katika wagombea wote wa upinzani ambao wamepitishwa na vyama vyao kuwania nafasi ya Urais