Aliyekuwa Mbunge apigwa chini kura za maoni

CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu kupitia CHADEMA, Gimbi Masaba, ameshindwa katika uchaguzi wa kura za maoni ndani ya chama hicho baada ya kupata kura 83 dhidi ya 161 alizopata mshindani wake, Machumu Maximilian.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS