Namungo haiwezi kuwa kama KMC au Singida Utd.

Wachezaji wa Namungo Fc ya Lindi wakishangilia baada ya kufunga bao katika moja ya mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Uongozi wa klabu ya soka ya Namungo Fc, umesema licha ya wao kuwa huu ndio msimu wao wa kwanza ligi kuu,hawapendi kuona wanalinganishwa na vilabu vya KMC na Singida United ambavyo katika msimu wao wa kwanza kama wao walionyesha uhai lakini misimu iliyofuata timu hizo zimeyumba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS